• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

WADAU SEKTA MTAMBUKA WAFANYA KIKAO CHA MAANDALIZI YA AWALI YA MPANGO WA BAJETI YA LISHE KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025.

siku ya kuwekwa : November 29th, 2023
  1. WADAU SEKTA MTAMBUKA WAFANYA KIKAO CHA MAANDALIZI YA AWALI YA MPANGO WA BAJETI YA LISHE KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025



Wadau wa Sekta Mtambuka katika utekelezaji wa Afua za Lishe, wamekutana na kufanya kikao cha awali na kujadili mpango wa Bajeti ya Lishe kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025.

Kikao hicho kimefanyika  Novemba 28,2023 katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani na kuhudhuliwa na Afisa Lishe mkoa wa Tanga Bi Sakina Mustafa, Maafisa Lishe wa Wilaya ya Pangani pamoja na Wadau wa sekta Mtambuka ya Utekelezaji wa Afua za Lishe wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani.

Akiongea mala baada ya ufunguzi wa kikao hicho ,Bi Sakina Mustafa amesema kuwa lengo la kikao ni pamoja na kujadili bajeti ya utekelezaji wa Afua za Lishe kwa kuzingatia Vipaombele vya mpango jumuishi na kuwaomba maafisa Lishe na wadau kupanga bajeti ya Lishe kulingana na Vyanzo vya Fedha vilivyopo katika Halmashauri, ili kurahisisha shughuli za Lishe na kuweza kuleta matokeo chanya katika jamii.


Aidha amesisitiza kuwa agenda ya Lishe ni jukumu la kila mmoja katika jamii na kuitaka jamii kuipa nafasi ili kuweza kupata jamii yenye afya bora.


Kwa upande wake Afisa Lishe Wilaya ya Pangani Daud Mwakabanje ameendelea kutoa wito kwa jamii kuendelea kushikaman na kujitokeza hasa pale panapokuwa na maadhimisho mbalimbali ya Lishe ili waweze kupata elimu bora ya Lishe.


Bi Sakina amesisitiza kuwa Bajeti ya Lishe izingatie mpango jumuishi ili kupata bajeti inayotekelezeka hasa kwa mwaka wa fedha 2024/2025.

#panganimpya

#lishekwajamiibora.

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • MIKUTANO WA MWAKA WA WAGANGA WAKUU WA MIKOA NA HALMASHAURI

    July 06, 2025
  • DAS PANGANI ATEMBELEA KUJIONEA MAENDELEO YA MAANDALIZI YA NANE NANE

    July 03, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA TANGA ATEMBELEA KUKAGUA MAANDALIZI YA MAONESHO YA NANE NANE

    July 02, 2025
  • TANZIA

    July 01, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa