• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

ZINGATIENI MASLAHI YA WATUMISHI WA UMMA KWENYE MAENEO YENU.

siku ya kuwekwa : September 12th, 2025


OR-TAMISEMI


Mkurugenzi wa Idara ya Serikali za Mitaa kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI Bi. Angelista Kihaga amewataka Maafisa Bajeti wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa  kuzingatia na kusimamia maslahi ya Watumishi katika kipindi cha kuandaa Bajeti zao.

“Mipango tunayoipanga tuhakikishe inajumuisha stahiki za watumishi katika ngazi zote kuanzia makao makuu Hadi katika ngazi za msingi” Bi. Kihaga.

Bi. Kihaga ameyasema hayo wakati akifunga mafunzo ya uandaaji na utekelezaji wa Mipango na Bajeti kwa Maafisa Bajeti wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa 2025 yaliyofanyika Jijini Dodoma.


Amesema katika usimamizi wa rasilimali watu ni muhimu Maafisa Bajeti  kuzingatia stahiki za watumishi kama ambazo wamekuwa wakizidai kama vile Malipo ya kwaajili ya likizo na ugonjwa kwa kufuata kanuni na Sheria za Bajeti


Aidha, Bi kihaga amewataka Maafisa Bajeti kwenda kusimamia kwa ukaribu miradi mbali mbali ya maendeleo inayotekelezwa katika maeneo Yao na kuhakikisha inaendana na thamani ya fedha.


Mafunzo hayo yaliyofanyika kwa siku nane yakifanyika katika makundi manne yamejumuisha Maafisa Bajeti 396 kati Yao  41 ni kutoka katika Tawala za Mikoa na 355 kutoka katika Mamlaka za Serikali za Mitaa.

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • ZINGATIENI MASLAHI YA WATUMISHI WA UMMA KWENYE MAENEO YENU.

    September 12, 2025
  • KILA LA KHERI DARASA LA SABA

    September 09, 2025
  • MAADHIMISHO JUMA LA ELIMU YA WATU WAZIMA

    September 07, 2025
  • MAADHIMISHO JUMA LA ELIMU YA WATU WAZIMA

    September 07, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Pangani Dc
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa