• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

MKUU WA MKOA TANGA AHITIMISHA ZIARA YAKE WILAYA YA PANGANI KWA KISHINDO.

siku ya kuwekwa : September 24th, 2018

Mkuu wa mkoa wa Tanga Mh.Martine Shigela alihitimisha ziara ya siku 2 wilayani kuanzia  tarehe 19/10/2018 hadi tarehe  21/10/2018,  kwa kutembelea Kata 7 kati ya 14 ndani ya Wilaya. Kata hizo ni Mkalamo, Mkwaja, Kipumbwi, Mikinguni, Mwera, Pangani Mashariki na Pangani Magharibi; akiwa ametumia muda mwingi kuzungumza na wananchi na kutatua kero zao.Ziara hiyo ilikamilika kwa RC Shigela akiwa amegusa sekta zote kwa undani na kutoa dira ya Serikali.





Ziara hiyo RC Shigela aliambatana na DC Pangani Mh.Zainab Abdallah, Naibu Waziri wa Maji na Mbunge wa Pangani Mh.Jumaa Aweso ambae alitumia wasaa huo kuzungumza na wapiga kura wake akianza kwa kuchangia ujenzi wa kumbi za Ibada yaani Miskiti na Makanisa ndani ya kata ya Mikinguni, zaidi kwa hisia kali Mbunge alinena mazito kwa kutoridhishwa na mchango wa mwekezaji wa Mashamba ya mkonge ya Amboni kwa jamii na mwisho kutoa kilio chake kikubwa cha Barabara na kuomba ikiwezekana Mh.Raisi akija kwenye maadahimisho ya kilele cha Mwenge mkoa wa Tanga mwezi ujao tarehe 14/10/2018 apite barabara ya Pangani ili kujionea hali halisi ya Barabara hiyo.


RC Shigela alileta tumaini kubwa kwa majibu chanya ya mipango ya serikali juu ya hatma ya Barabara hyoi na kuahidi kuwa barabara hiyo mwezi  ujao tenda itatangazwa na ndani ya miezi miwili ujenzi utaanza kwa barabara ya Tanga-Pangani; pia ameahidi kutimiza ombi la mbunge kumuomba Mh.Raisi kupita Pangani kwenye kilele cha Mwenge 14 Oktoba 2018

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • SEMINA ELEKEZI KWA WALIMU AJIRA MPYA PANGANI YATOLEWA.

    July 10, 2025
  • MIKUTANO WA MWAKA WA WAGANGA WAKUU WA MIKOA NA HALMASHAURI

    July 06, 2025
  • DAS PANGANI ATEMBELEA KUJIONEA MAENDELEO YA MAANDALIZI YA NANE NANE

    July 03, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA TANGA ATEMBELEA KUKAGUA MAANDALIZI YA MAONESHO YA NANE NANE

    July 02, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa