• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

PANGANI NA SURA MPYA KATIKA SEKTA YA UTALII.

siku ya kuwekwa : September 12th, 2018

Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Pangani chini ya DC Zainab Abdallah wamefanikiwa kukutana na kufanya kikao na Mkuu wa Hifadhi ya SAADANI   Mama Angella Nyaki. Ufanikishaji huu umekuwa sehemu na mpango mkakati mzito wa kuhakikisha serikali inafanya kazi bega kwa bega na Hifadhi hii kwa manufaa ya pande zote mbili, ikiwa ni Hifadhi ya SAADANI na Wilaya ya Pangani.


Ni wazi Hifadhi hii ipo sehemu ya Pangani kwa upande mmoja na huu ni urithi na Fahari yetu, ni wajibu wetu kuwekeza nguvu, ubunifu, bidii, na kila liwezekanalo kuifanya kua imara, na kivutio chenye upekee kwa taifa letu na kuendelea kuwa na tija katika sekta ya Utalii nchini

Lengo letu kama Serikali ni kushiriki kuitangaza Sekta ya Utalii katika mkoa wetu wa Tanga hususani Wilaya ya Pangani ambayo imebarikiwa kua na vivutio vingi.

Ikumbukwe Hifadhi hii ya SAADANI ni ya kwanza Afrika na ya pili duniani inayopakana na bahari; ikiongozwa na ya kwanza toka taifa la Indonesia.Tunaenda kufungua milango zaidi ya utalii kwa Wilaya hii yenye fukwe nzuri sana za kuvutia,simba na swala wakicheza fukwe za bahari, mto Pangani uliokutana na Bahari ya Hindi, kilimo cha popoo eneo la mauya ikiwa ni wIlaya pekee nchini inayozalisha, kaburi la Abushiri, Lango la kuwapokea watumwa kuingia Pangani, ofisi ya nguli wa fasihi Marehenu Shabaan Robert, kilimo cha mkonge ambapo wilaya hii inaongoza kwa nchi yetu, majengo ya kale, vyakula vya asili na zaidi mazingira ya kuvutia na urithi wa asili ya maisha ya watu wake.

Mwisho Mkuu wa Wilaya ya Pangani amekubaliana na uongozi wa Hifadhi ya SAADANI kwa yote yaliozungumzwa na kujiwekea mipango na malengo.!

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • DC PANGANI AKETI NA WAFUGAJI KUJADILI NA KUTATUA MIGOGORO YAO

    June 30, 2025
  • TANGAZO

    June 29, 2025
  • KAMPENI YA USAFI WA KILA MWISHO WA MWEZI

    June 27, 2025
  • PANGANI YAPOKEA CHANJO

    June 26, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa