• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

Zahanati ya Kijiji cha Mikinguni Mbioni Kuanza Kutoa Huduma kwa Wananchi.

siku ya kuwekwa : February 9th, 2026


Wananchi wa Kijiji cha Mikinguni, Wilaya ya Pangani, wanatarajiwa kuanza kunufaika na huduma za afya hivi karibuni baada ya Kamati ya Siasa ya Wilaya hiyo kufanya ziara ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya Chama kwa kipindi cha Juni hadi Desemba 2025.

Ziara hiyo iliyofanyika leo, tarehe 9 Februari 2026, imelenga kukagua ukamilishaji wa ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Mikinguni, ambapo imebainika kuwa miundombinu ya zahanati hiyo tayari imekamilika.


Akizungumza mara baada ya ukaguzi huo, Mwenyekiti wa Chama Wilaya ya Pangani, Mheshimiwa Abdallah Mahmoud, amepongeza kasi ya utekelezaji wa mradi huo na kueleza kuridhishwa kwake na hatua iliyofikiwa.

 Aidha, amewahimiza wahusika kuhakikisha kazi chache zilizosalia ikiwemo uwekaji wa vifaa tiba na upangaji wa watumishi wa afya zinakamilika kwa wakati ili zahanati ianze kutoa huduma haraka iwezekanavyo.


“Wananchi wamekuwa na kero ya kutembea umbali mrefu kufuata huduma za afya. Kukamilika kwa zahanati hii ni hatua kubwa ya kusogeza huduma karibu na wananchi,” alisema Mheshimiwa Abdallah.


Kwa upande wake kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani Wakili Agape Fue ameeleza  kuwa kukamilika kwa mradi huo kutapunguza adha ya kusafiri umbali mrefu kutafuta matibabu, hasa kwa akina mama wajawazito, watoto na wazee.


Kwa kukamilika kwa miundombinu, serikali na viongozi wa chama wamehakikishia wananchi kuwa taratibu za mwisho zinaendelea ili zahanati hiyo ianze rasmi kutoa huduma katika muda mfupi ujao.

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • Zahanati ya Kijiji cha Mikinguni Mbioni Kuanza Kutoa Huduma kwa Wananchi.

    February 09, 2026
  • Pangani Yatoa Elimu ya Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia.

    February 06, 2026
  • Wizara ya Afya Yaimarisha Usalama wa Wagonjwa Pangani Kupitia Tathmini ya IPC.

    February 05, 2026
  • HABARI PICHA; WAANDAAJI WA MAUDHUI MTANDAONI WACHUKUA FOMU ZA USAJILI.

    February 05, 2026
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Pangani Dc
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa