• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

Kilimo

SEKTA YA KILIMO

80% ya wakazi wa Wilaya ya Pangani ni wakulima .

HALI YA UPATIKANAJI WA MVUA

Katika maeneo mengi ya Wilaya ya Pangani kumekuwa na hali ya ukosefu wa mvua ya kutosha hususani katika kipindi cha msimu wa masika na  vuli la mwaka jana, hivyo kusababisha uzalishaji wa mazao kuwa chini ya matarajio. Takwimu za mvua iliyoripotiwa katika kituo cha Pangani  kwa kipindi cha miaka mitatu iliyopita ni kama invyonekana  kwenye jedwali :

Hali ya upatikanaji wa mvua kwa kipindi cha mitatau


MWEZI
KIWANGO CHA MVUA KILICHONYESHA KWENYE MSIMU WA MASIKA NA VULI MWAKA 2014 – 2016 (mm)
MSIMU WA KILIMO
2014
2015
2016

MACHI
124.7
196.4
22.7
MASIKA
APRILI
116.3
137.6
368.6
MEI
281.5
370.5
87.3
JUNI
48.9
15.2
73.5
OKTOBA
34.6
35.7
41.8
VULI
NOVEMBA
170.7
270.6
131.1
DESEMBA
105.1
70.5
20
JUMLA
881.8
1096.5
745

HALI YA UPATIKANAJI WA CHAKULA

Wilaya ya Pangani ina jumla ya kaya 14,513 zenye jumla ya wakazi 59502; Mahitaji ya Chakula kwa Wilaya ni Tani 13929 kwa mwaka.  Msimu wa masika mwaka huu 2015/16 kuna mavuno pungufu kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa yaliyosababisha kupata mvua kidogo katika kata zote. Mazao ya chakula yanayolimwa ni Mahindi, Mpunga, Kunde, Ndizi, Muhugo na Viazi vitamu. Malengo ilikuwa kuvuna Tani 34,492 lakini kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa tumeweza kuvuna Tani 8,913 za mazao ya chakula, hivyo kuna upungufu wa Tani 5,016 ukilinganisha na mahitaji halisi ya sasa ambayo ni Tani 13,929

Takwimu za uzalishaji wa mazao ya chakula kuanzia 2012 hadi 2016 ni kama inavyoonekana katika jedwali hapa chini.

Jedwali Na 05: Uzalishaji Mazao ya Chakula

 
ZAO
2012
2013
2014
2015
2016
Hekta
Tani
Hekta
Tani
Hekta
Tani
Hekta
Tani
Hekta
Mavuno Tani
Mahindi
6590
5292
6924
11983
6935
12,778
7062
14124
8410
84
                 Mpunga
-
-
54
38
64
49
194
95
245
0
Muhogo
2235
3278
1197
5985
1290
14391
135
146
1724
8,792
Viazi vitamu
47
103
43
148
73
601
1513
16643
95
0
Ndizi
82
62
86
430
137
1213
151
1359
129
27
Mikunde
90
31
96
186
158
121
75
600
204
10
Jumla
9,062
8,781
8,446
18,814
8,667
29,159
9130
32,967
10,807
8,913

 

MAZAO YA BIASHARA

Mazao ya Biashara yanayolimwa Wilayani Pangani ni Mkonge, Korosho, Minazi, Michungwa, Miembe na  Ufuta.

Takwimu za uzalishaji wa mazao ya biashara toka Mwaka 2013 hadi  2016 ni kama inavyoonekana kwenye jedwali hapa chini;

 

 uzalishaji wa mazao ya biashara kwa mwaka 2013 hadi 2016

 

 
ZAO
2013
2014
2015
      2016
Hekta
Tani
Hekta
Tani
Hekta
Tani
Hekta
Mavuno Tani
Nazi
407
425
10473
26498
11890
29725
11132
8,150
Korosho
364
65
3989
689
4624
524
5079
630
Machungwa
312
5616
847
1365
1004
15060
1189
15,457
Ufuta
441
308
1247
1365
2526
3031
27885
334
Jumla
1524
6414
16556
29917
20044
48340
45285
14,887


USINDIKAJI WA MAZAO:

Wakulima wamekuwa wanafanya usindikaji wa mazao ya muhogo katika kata ya Madanga, alizeti kata ya Kipumbwi, mafuta ya nazi na makumbi ya nazi kata ya Pangani mashariki lakini kutokana na uzalishaji mdogo , usindikaji kwa kipindi hiki haukuwa mkubwa.

MAFANIKIO YA SEKTA YA KILIMO

Wakulima wa korosho Kijiji cha Sange wamenunuliwa mashine za ubanguaji korosho.

Vikundi 7 vya uzalishaji miche ya korosho vimeanzishwa na hadi 2016/17 jumla ya miche bora ya Mikorosho 120,000 na itagawiwa bure kwa wakulima.

  • Kupitia mpango wa kuendeleza kilimo (ASDP) kikundi cha wakulima kijiji cha Mkalamo kimepatiwa trekta kubwa. Kwa kutumia trekta hili maeneo yanayolimwa yameongezeka kutoka ekari 300 hadi kufikia ekari 1,650 mwaka 2016
  • Kijiji cha Boza kimeweza kununua trekta la mkopo kupitia mfuko wa pembejeo.Aidha idara kwa kushirikiana na taasisi Islamic help imepata trekta kubwa litakalosaidia kuwalimia wakulima wenye kipato kidogo
  • Kupitia mpango wa kuendeleza Kilimo (ASDP) wakulima wa muhogo tarafa ya Madanga wamejengewa kituo cha kuchakata muhogo hivyo kuongeza mnyororo wa thamani  na kutatua changamoto ya soko la muhogo

•    Ushirika wa wakulima wa nazi wamenunua mashine za kuchakata makumbi ya nazi hivyo kuongeza thamani ya zao la minazi.


Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • ZIMEBAKI SIKU SITA KUELEKEA UMITASHUMTA & UMISSETA 2025 IRINGA.

    June 01, 2025
  • TANGAZO LA USAFI WA MWISHO WA MWEZI

    May 30, 2025
  • ELIMU YA KINGA DHIDI YA MAJANGA YA MOTO KWA WANAFUNZI WA PANGANI YATOLEWA.

    May 30, 2025
  • UJENZI WA NYUMBA YA WAKUU WA IDARA WAIMARIKA WILAYANI PANGANI.

    May 28, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa