• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

Ufugaji Nyuki

UFUGAJI NYUKI

Ufugaji nyuki ni shughuli mojawapo ya kiuchumi katika Halmashauri ya wilaya ya pangani ufugaji nyuki husaidia sana katika utunzaji wa mazingira kwa kufanya uchafushaji wa mimea ya mashamba ya misituu pia Asali na Nta ni mazao yenye kuingiza kipato kwa wafugaji nyuki

Mazao yatokanayo na ufugaj nyuki

  1.  Asali
  2.  Sumu ya nyuki
  3.  Gundi ya nyuki
  4.  Maziwa ya nyuki
  5. Nta


Hadi sasa Halmashauri ya wilaya ya pangani ina mizinga ipatayo 1840 ambapo mizinga 980 ni mizinga ya kisasa na mizinga 860 ni mizinga ya kienyeji mizinga yote hiyo humilikiwa na vikukundi vya ufugaji nyuki.


Halmashauri ya wilaya Pangani ina jumla ya vikudi 38 vya ufugaji nyuki vyenye jumla ya wafugaji nyuki wapatao 400.

Wilaya ina MANZUKI zipatazo 16(maeneo ,mashamba ya  ufugaji nyuki)MANZUKI  8 yanapatikana katika maeneo ya mikoko katika vijiji vilivyopo kandokando ya bahari yenye ukubwa wa takribani hekta 3500

MANZUKI 8 hupatikana katika misitu mbalimbali ya vijiji vyenye ukubwa wa takribaki hekari 31,000


Matarajio ya badae katika kitengo cha ufugaji nyuki

  1. Kuongeza uzalishaji wa mazao ya nyuki na kufanya ufugaji wa kisasa wa nyuki wenye tija
  2. Kuongeza vikudi vya ufuagaji nyuki kutoka vikundi 38 hadi vikundi 50 vyenye wafugaji 500 na kuzalisha asali kilo 5000 kufikia mwaka 2020




Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • ZIMEBAKI SIKU SITA KUELEKEA UMITASHUMTA & UMISSETA 2025 IRINGA.

    June 01, 2025
  • TANGAZO LA USAFI WA MWISHO WA MWEZI

    May 30, 2025
  • ELIMU YA KINGA DHIDI YA MAJANGA YA MOTO KWA WANAFUNZI WA PANGANI YATOLEWA.

    May 30, 2025
  • UJENZI WA NYUMBA YA WAKUU WA IDARA WAIMARIKA WILAYANI PANGANI.

    May 28, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa