• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

SIKU YA WAZEE DUNIANI

Tuesday 3rd, June 2025
@Mwera,Madanga na Pangani mjini

Ofisi ya mkuu wa Wilaya ya Pangani sambamba na ofisi ya mbunge inatambua mchango mkubwa unaotolewa na wazee wa taifa letu.Tumeamua kuwagusa wazee kwa namna ya tofauti kabisa.na kuja na kampeni maalumu kabisa katika kuazimisha siku ya wazee duniani inayoitwa "NASHUKURU MZEE"

Mambo muhimu yatakayofanyika kwenye kampeni hiyo


.. 1. Neno la kuwashukuru kwa kazi nzito waliofanya hadi sasa kuijenga Pangani na taifa letu kwa ujumla.
.2. Kuwapa zawadi ya uhakika kunako sekta ya Afya kama jambo muhimu zaidi kwao nyakati hizi ikiwa ni kuhakikisha wazee wote ndani ya siku 3 wanapata vitambulisho vyao vya matibabu bure kama ilivyo elekeza serikali ya awamu ya tano.

4. Matibabu,upasuaji vipimo na matibabu bure maalum toka kwa wataalam ndani na nje ya Pangani kwa wiki hii hadi kilele.

5.Vipimo vya macho na wataopatikana na tatizo kupatiwa miwani.

6.Zoezi la uchangiaji damu.

Sambamba na zawadi hii ya kiAfya kwao....! Pia tumedhamiria....!
.
7.Kuwajengea uwezo na kuwapa tumaini jipya na mikakati ya serikali juu yao ikiwemo kujua kero na changamoto zao kutafutiwa ufumbuzi.

8.Mwisho kupata nao chakula cha mchana Nyumbani kwa Mkuu wa Wilaya na Mgeni Rasmi atakuwa Mh Jumaa Aweso (Mb) - Naibu Waziri wa Maji; atakutakana na kujumuika nao.

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • KAMPENI YA UTOAJI WA MATONE YA VITAMINI A PANGANI

    June 01, 2025
  • ZIMEBAKI SIKU SITA KUELEKEA UMITASHUMTA & UMISSETA 2025 IRINGA.

    June 01, 2025
  • TANGAZO LA USAFI WA MWISHO WA MWEZI

    May 30, 2025
  • ELIMU YA KINGA DHIDI YA MAJANGA YA MOTO KWA WANAFUNZI WA PANGANI YATOLEWA.

    May 30, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa