• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

BANDARI YA KIPUMBWI NA MKWAJA SASA KURASIMISHWA PANGANI

siku ya kuwekwa : August 28th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Pangani Mh. Zainab Abdallah jana tar 27 Aug.2018 amevuna matunda ya jitihada na maono aliyo pigania; ambapo Meneja wa Bandari Mkoa wa Tanga - Ndugu Percival Salama aliyapokea na kuyafanyia kazi kwa ukaribu sana na leo kupata baraka za viongozi wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya, Wataalam wa Halmashauri pamoja na wakuu wa taasisi mbalimbali. .

Kwa mujibu wa historia, Bandari ya Pangani ndio Bandari ya kwanza Afrika Mashariki iliyoanzishwa kabla ya karne ya  6 B.C!!

Mkoa wa Tanga una bandari 2 tu kwa sasa; ambazo ni bandari ya Tanga na bandari ya Pangani. Mamlaka ya Bandari wamefanya upembuzi yakinifu na kugundua tuna bandari 44 zisizo rasmi ndani ya Mkoa wa Tanga; na kati ya hizo 20 zipo Tanga mjini,15 pangani, 12 Mkinga na 1 ipo Muheza. Kamati maalum ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa chini ya Mh Shigela (Mkuu wa Mkoa) imefanya maamuzi ya kurasimisha bandari 4 kwa sasa; ambazo kati ya hizi 1 ni Manza Bay (Mkinga), 1 ipo Kigombe (Muheza) na 2 zipo Kipumbwi na Mkwaja (Pangani).

Hatua hii itaambatana na kuirekebisha Bandari ya Pangani mjini; lengo ikiwa ni kuimarisha sekta hii ambayo ni kitovu cha uchumi kwa taifa letu na mataifa makubwa yalioendelea duniani. Mkakati ni kuhakikisha inapofika mwisho wa mwaka huu Bandari hizo 4 ziwe zimerasimishwa.

Hii ni habari njema sana kwa wana Pangani ambapo itafungua milango zaidi ya maendeleo, itaongeza mapato, itawawezesha wana Pangani kupata bidhaa kwa bei nafuu na urahisi; itasaidia katika dhana ya ulinzi na usalama na kubwa zaidi kuifanya wilaya hii kua kitovu cha Biashara na Viwanda.

.Hatua hii ni mwendelezo wa ujenzi wa Pangani Mpya katika kutimiza azma ya maendeleo na mabadiliko ya kweli kila sekta na kwa kila namna kufanikisha malengo na azma ya Serikali ya awamu ya 5; na dhana ya Mh. Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - Ndugu John Pombe Magufuli

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • KATIBU TAWALA MKOA WA TANGA ATEMBELEA KUKAGUA MAANDALIZI YA MAONESHO YA NANE NANE

    July 02, 2025
  • TANZIA

    July 01, 2025
  • DC PANGANI AKETI NA WAFUGAJI KUJADILI NA KUTATUA MIGOGORO YAO

    June 30, 2025
  • TANGAZO

    June 29, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa