• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

BARAZA LA MADIWANI PANGANI LAKETI MKUTANO WA ROBO YA PILI 2025/2026

siku ya kuwekwa : January 23rd, 2026

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Pangani lafanya Mkutano wa Robo ya Pili ya Mwaka wa Fedha 2025/2026

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Pangani leo, Januari 23, limefanya Mkutano wake wa Robo ya Pili ya Mwaka wa Fedha 2025/2026 katika Ukumbi wa YMCA, ambapo limejadili utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa kipindi cha Oktoba hadi Desemba.

Akizungumza mara baada ya kufungua mkutano huo, Mwenyekiti wa Halmashauri, Mheshimiwa Sefu Ally, amewasisitiza madiwani kusimamia kwa karibu ukusanyaji wa mapato ya ndani, kuongeza vyanzo vipya vya mapato, pamoja na kuhakikisha Halmashauri ina uwezo wa kutekeleza miradi ya maendeleo kwa ufanisi.


Mheshimiwa Sefu ameeleza kuwa mapato ya Halmashauri ni msingi muhimu wa kuboresha utoaji wa huduma za kijamii, hususani katika sekta za elimu, afya na miundombinu.

Aidha, Baraza hilo limepokea na kujadili kwa kina taarifa za kamati ambapo masuala mbalimbali yalipata nafasi ya kujadiliwa yakiwemo masuala ya elimu, upatikanaji wa madarasa ya kutosha, walimu wenye sifa, pamoja na kuboresha mazingira ya kujifunzia ili kuongeza ufaulu na kupunguza tatizo la utoro Shuleni.

Mkutano huo umehitimishwa kwa wito kwa madiwani na watendaji kushirikiana kwa karibu katika kusimamia rasilimali za umma kwa uwajibikaji na ufanisi.

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • BARAZA LA MADIWANI PANGANI LAKETI MKUTANO WA ROBO YA PILI 2025/2026

    January 23, 2026
  • MADIWANI WAWASILISHA TAARIFA ZA MAENDELEO YA KATA ZAO – PANGANI

    January 22, 2026
  • SHULE MPYA STAHABU TAYARI KWA MATUMIZI

    January 20, 2026
  • UJENZI WA MADARASA 03 KUPITIA BOOST WAENDELEA KUTEKELEZWA

    January 19, 2026
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Pangani Dc
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa