• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.

siku ya kuwekwa : April 16th, 2025

KAMATI YA LISHE YAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA AFUA  ZA LISHE, KIPINDI CHA ROBO YA TATU 2024/2025.


Kamati ya Lishe Halmashauri ya Wilaya ya Pangani leo Aprili 16, 2025 imefanya Kikao cha kawaida cha Kujadili taarifa za utekelezaji wa afua za lishe kwa kipindi cha Robo ya Tatu kuanzia mwezi Januari hadi Machi 2025.


Akifungua kikao hicho kaimu Mkurugenzi Mtendaji,  ndug Juma Mbwela amesema kuwa kikao hichi ni muhimu sana kwani Halmashauri yetu inaendelea kutekeleza maagizo ya upatikanaji wa lishe kwa vitendo, Serikali ya awamu ya sita imeendelea kulipa umuhimu wa kipekee suala la lishe bora katika jamii.


Kwa upande wake Afisa Lishe wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani ndugu Daudi Mwakabanje amesema kuwa Divisheni ya Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii imeendelea kutekeleza afua za Lishe na kufanikiwa kutoa elimu kwa Wananchi  kupitia vikao mbalimbali kuhusu masuala ya lishe bora.


" Katika kipindi cha robo ya tatu, tumefanikiwa kutekeleza afua za lishe kwa kutumia kadi alama, ambapo tumepima viashiria mbalimbali ikiwemo kiashiria cha upimaji wa utapiamlo, kiashiria cha utoaji wa chakula Shuleni angalau mlo mmoja, kiashiria cha usimamizi shirikishi". Alisema.


Sambamba na hilo Idara mbalimbali ziliwasiliisha taarifa za utekelezaji wa Afua za lishe kwa kipindi cha robo ya tatu ikiwemo idara ya Elimu ya Awali na Msingi, Idara ya Elimu Sekondari, Idara ya Maendeleo ya Jamii, Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi pamoja na Idara ya Mipango na Uratibu.


Aidha, katika kikao hicho wajumbe walitoa ushauri juu ya masuala ya Lishe bora na kuzingatia usafi pamoja na kukubaliana kuendelea kutoa  hamasa na elimu kwa wananchi juu ya masuala ya lishe ili kuendelea kuboresha hali ya lishe katika Wilaya ya Pangani wa ujumla.

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • RC BATILDA AIPONGEZA PANGANI UANDIKISHAJI WA DAFTARI AWAMU YA KWANZA NA KUTOA WITO KWA WANANCHI KUJITOKEZA AWAMU YA PILI

    May 16, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI NA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI LAANZA PANGANI

    May 16, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 14, 2025
  • UBORESHAJI DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 12, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa