• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

KAMATI YA USHAURI YA WILAYA YA PANGANI (DCC) IMEKETI KUJADILI RASIMU YA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2025/2026

siku ya kuwekwa : March 4th, 2025

Kamati ya Ushauri ya Wilaya ya Pangani (DCC) leo Machi 4, 2025 imefanya kikao kujadili na kupitisha rasimu ya  Mpango na Bajeti ya halmashauri kwa Mwaka wa fedha 2025/2026.



Akifungua kikao hicho kilichoketi katika ukumbi wa Halmashauri ya zamani, Mkuu wa Wilaya ya Pangani Mhe Gift Isaya Msuya ambaye pia ni Mwenyekiti wa kikao hicho aliwataka wajumbe  kujadili  rasimu ya mapendekezo ya mpango na bajeti kwa makini kwa maslahi mapana ya Halmashauri.

Akiwasilisha taarifa ya rasimu ya mapendekezo ya mpango na bajeti ya Halmashauri Afisa Mipango Wilaya ya Pangani ndg Simeon Vedastus amesema kuwa kwa asilimia kubwa Serikali imetekeleza wajibu wake wa uletaji fedha kwaajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo.

" Tumepata fedha kwaajili ya ununuzi wa vifaa tiba katika Zahanati zetu, fedha za ujenzi wa nyumba ya mwalimu Shule ya Sekondari ya Jumaa Aweso, Ukarabati wa  Vyumba vya Madarasa, ujenzi wa Bweni shule ya Sekondari Funguni, kumalizia ujenzi wa sekondari ya Bweni pamoja na Mwera, ujenzi wa nyumba ya afisa kilimo". Alifafanua

Aidha aliongeza kuwa kwa mwaka wa fedha 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Pangani inatarajia kukusanya na kutumia kiasi cha Tshs Billioni 23.9 ikijumuisha Mishahara, Matumizi Mengineyo, Mapato ya Ndani pamoja na miradi ya maendeleo.


Kamati hiyo pia imepata fursa ya kufanya mapitio ya utekelezaji wa Mpango na Bajeti ya mwaka wa fedha 2023/2024 na mwaka wa fedha 2024/2025 kwa kipindi cha kuishia Desemba 2024.

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • TANGAZO LA UJIO WA MADKTARI BINGWA WA DKT SAMIA AWAMU YA PILI

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI PANGANI LAOMBA SERIKALI UFUMBUZI KUKATIKA KWA UMEME

    April 30, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI PANGANI LAKETI KUJADILI UTENDAJI KAZI KWA ROBO YA TATU KUANZIA MWEZI JANUARI HADI MACHI 2024/2025

    April 30, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAJADIRI TAARIFA ZA UTEKELEZAJI KATA KWA KATA.

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa