• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

KIKAO CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE

siku ya kuwekwa : November 21st, 2023

KIKAO CHA TATHIMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE.

Halmashauri ya Wilaya ya Pangani leo tarehe 20 Novemba 2023 imefanya kikao cha tathmini ya Lishe kilichofanyika katika ukumbi wa zamani wa Halmashauri.

Akisoma taarifa ya Lishe Afisa lishe  Wilaya ndugu Daud Mwakabanje, amesema kuwa taarifa ya hali ya lishe katika Wilaya inaonesha kuwa jumla ya watoto 5258 wapo katika hali nzuri ya lishe, ambapo watoto jinsia ya kiume 2594 wapo kwenye hali ya Kijani, na 2659 jinsia ya kike wapo kwenye hali ya kijani na watoto 5 pekee ambao wapo kwenye hali ya njano, na tayari wamepatiwa njia bora ya kuzingatia Lishe.

Kwa upande wake  Afisa Tarafa wa kata ya Madanga bw Ismail Mwandege ambae  amemuwakilisha Mkuu wa Wilaya amewataka watendaji wa kata katika Halmashauri kuweka jitihada za kutoa elimu ili kuondoa matatizo na magonjwa yanayosababishwa na ukosefu wa lishe bora haswa kwa watoto walio chini ya miaka mitano.

"Lishe bora kwa mtoto huimarisha Afya na kumpa nguvu mtoto ili aweze kutimiza shughuli zake za kila siku, mtoto mwenye Afya nzuri mara zote anakuwa na furaha hata kwa kumuangalia tu anaonekana anapendeza"Alisema.

Hata hivyo kwa upande wake Afisa Ustawi wa jamii Bw. Kirigiti Matera amesema kuwa ni muhimu Afisa Lishe kutembelea vituo vyote vya Mahitaji maalumu kwaajili ya kutoa elimu ya lishe na Shule zote za Chekechea(Day care) ndani ya wilaya ya Pangani, kupatiwa elimu ya Lishe bora.

Kikao cha Tathmini ya Lishe kwa watendaji ni vikao endelevu vinavyofanyika kila robo katika mwaka, ili kujua mwenendo mzima wa lishe kwa watoto katika Halmashauri ikiwa na lengo la kuhakikisha watoto wote wanakuwa na Afya njema.

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • TANGAZO LA UJIO WA MADKTARI BINGWA WA DKT SAMIA AWAMU YA PILI

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI PANGANI LAOMBA SERIKALI UFUMBUZI KUKATIKA KWA UMEME

    April 30, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI PANGANI LAKETI KUJADILI UTENDAJI KAZI KWA ROBO YA TATU KUANZIA MWEZI JANUARI HADI MACHI 2024/2025

    April 30, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAJADIRI TAARIFA ZA UTEKELEZAJI KATA KWA KATA.

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa