• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

MAADHIMISHO YA SIKU YA LISHE KITAIFA NA UZINDUZI WA KAMPENI YA LISHE KWA VIJANA WA RIKA BALEHE.

siku ya kuwekwa : October 27th, 2023

Pangani_Tanga


 "Lishe bora kwa Vijana Balehe, Chachu  ya Mafanikio yao".


Hii ni kauli mbiu iliyobeba dhana nzima ya maadhimisho ya siku ya Lishe Kitaifa, iliyofanyika Leo Oktoba 27, 2023 ,Kiwilaya katika  ofisi ya Kata iliyopo Pangani Magharibi, na kuhudhuliwa na watalaamu mbalimbali wa Afya.


Maadhimisho haya yamehusisha upimaji wa uwiano wa Urefu na uzito(BMI)  kwa vijana balehe ambapo zoezi hilo limeongozwa na wataalamu wa Afya kutoka Hospitali ya Wilaya ya Pangani kwa kushirikiana na Afisa Lishe wa Wilaya ndg Daud Mwakabanje.


Hata hivyo kwa upande wake Afisa Lishe( W) Bwana,Daudi Mwakabanje, ameendelea kutoa wito kwa wazazi na walezi kuendelea kuwapa watoto vyakula vinavyozingatia mlo kamili ikiwa ni pamoja na kuwanyonyesha  watoto maziwa ya mama kwa pekee ndani ya  miezi sita ya mwanzo.


Kwa upande wake ndg Roita Mponji ambae alisimama kwa niaba ya Mgeni rasmi ameendelea kusisita juu ya umuhimu wa kuzingatia Lishe bora


" Serikali ya awamu ya Sita imedhamiria kuimarisha afya za watanzania kwa kusimamia ipasavyo utekelezaji wa  afua za lishe kwa kupunguza madhara ya kiafya yatokanayo na lishe duni kwa jamii; Madhara hayo ni udumavu, uzito pungufu, ukondefu uzito uliopitiliza, upungufu wa damu na kutokomeza utapiamlo mkali hususani kwa Watoto chini ya miaka mitano".


Halmashauri ya Pangani imendelea kupiga hatua katika utekelezaji wa afua za lishe na hivyo kupungua kwa kiasi kikubwa kwa  matatizo ya kiafya yatokanayo na lishe duni, mathalani udumavu 1%,Upungufu wa damu kwa akina mama wajawazito 4.7%,Ukondefu 0.8% na uzito uliopita kiasi 0.2%; hali ambayo ni himilivu ukilinganisha na asilimia za kitaifa.

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • UBORESHAJI DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 12, 2025
  • KAMBI YA MADAKTARI BINGWA WA DKT SAMIA

    May 11, 2025
  • TANGAZO LA UJIO WA MADKTARI BINGWA WA DKT SAMIA AWAMU YA PILI

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI PANGANI LAOMBA SERIKALI UFUMBUZI KUKATIKA KWA UMEME

    April 30, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa