• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

MAAFISA WATENDAJI KATA 6 PANGANI DC, WAPATA MGAO WA PIKIPIKI ZA SERIKALI AWAMU YA KWANZA

siku ya kuwekwa : February 17th, 2023

Maafisa watendaji wa kata 6 za Halmashauri ya wilaya ya Pangani wamekabidhiwa pikipiki 6 kati ya pikipiki 916 zilizotolewa na Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) kwa ajili ya watendaji kata nchini lengo likiwa ni kuboresha mazingira ya utendaji kazi  katika utoaji wa huduma kwa wananchi.

Katika mgao wa awamu ya kwanza Pikipiki hizo zimetolewa kwa kata 6 kati ya kata 14 za Wilaya ya Pangani. Mgao huo umefanyika Kwa kuzingatia Kata zilizopo pembezoni na yenye vijiji vingi, Kata hizo ni Kata ya Mkalamo, Mkwaja, Masaika, Mikunguni, Kipumbwi na Bushiri.

Zoezi la Kukabidhi pikipiki kwa Maafisa watendaji wa kata limefanyika Wakati wa Kikao cha Baraza la Madiwani la kupitisha Bajeti ya Halmashauri 2023/2024. Hivyo kufanya zoezi hilo kuudhuriwa na Wah. Madiwani wa kata zote 14 za Halmashauri ya wilaya ya Pangani, Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri, Mwenyekiti(W) na Katibu(W) wa Chama Cha Mapinduzi(CCM), Mhe. Kaimu Mkuu wa wilaya, Kamati ya Ulinzi na Usalama, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Pamoja na Wakuu wa Idara na Vitengo wa Halmashauri, Viongozi wa Taasisi mbalimbali za Serikali na Binafsi. Pamoja na Wananchi waliohudhuria Baraza hilo.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani Mhe. Akida Omari Bahorera na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani Ndg. Isaya M. Mbenje wameogoza zoezi hilo la Kukabidhi pikipiki kwa maafisa watendaji kata.

Viongozi hao wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kugawa pikipiki hizo kwa Maafisa watendaji wa kata ili kuboresha mazingira ya utendaji kazi katika utoaji wa huduma kwa wananchi. Pia Viongozi hao wamewaelekeza Maafisa hao Kutumia Pikipiki hizo kwa ajili ya kazi iliyokusudiwa na serikali ya kuwahudumia wananchi huku wakiwasisitiza kuzitunza na kuzithamini kwa kutambua kuwa ni mali ya Umma.

Aidha Maafisa watendaji kata hao wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa mgao huo wa pikipiki na kuhaidi kutumia pikipiki hizo kwa matumizi mazuri ya kiofisi ili kutoa huduma bora kwa wananchi ili kuleta maendeleo.





Pangani DC

Kazi Iendelee✍✍

Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA KUKUSANYA TAARIFA ZA ANWANI YA MAKAZI NA POSTIKODI HALMASHAURI YA PANGANI April 10, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA KAZI YA AFISA MTENDAJI WA KIJIJI NA DREVA March 16, 2022
  • MAUZO YA VIWANJA June 04, 2018
  • VIBALI VYA UJENZI August 15, 2018
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • MAAFISA WATENDAJI KATA 6 PANGANI DC, WAPATA MGAO WA PIKIPIKI ZA SERIKALI AWAMU YA KWANZA

    February 17, 2023
  • WALIMU WA SHULE ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI WAISHUKURU SERIKALI KWA KUWAGAWIA VISHIKWAMBI KWAAJILI YA KUFUNDISHIA

    January 12, 2023
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI 2022

    January 04, 2023
  • WILAYA YA PANGANI YAPOKEA ZAWADI ZA CHRISTMAS NA MWAKA MPYA 2023 KUTOKA KWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MH, DR. SAMIA SULUHU HASSAN.

    December 24, 2022
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa