• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

SHULE MPYA YA SEKONDARI MASAIKA KUPITIA MRADI WA KUBORESHA ELIMU YA SEKONDARI(SEQUIP) WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 98%.

siku ya kuwekwa : November 7th, 2023

Halmashauri ya Wilaya ya Pangani imeendelea kunufaika na Mradi wa Kuboresha Elimu ya Sekondari (SEQUIP), wenye lengo la kuboresha Mazingira ya Kufundishia na Kujifunzia katika Shule za Sekondari.


Timu ya uthibiti ubora wa Shule ikiongozwa na bwan Frank Maeda imefanya ziara ya ukaguzi wa  mradi huo  Novemba 7,2023, katika Shule ya Sekondari Masaika iliyopo kata ya Masaika Wilayani Pangani na kuonyesha  kuridhishwa na maendeleo ya jenzi wa Shule hiyo uliotekelezwa kwa jumla ya  Shilingi Milioni 584, Fedha kutoka Serikali kuu,kupitia SEQUIP.


Bwana Maeda ameongeza kwa kuipongeza Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani, pamoja na usimamizi mzuri wa Mkuu wa Wilaya mhe Zainab Abdallah na wataalamu wote waliojitoa katika utekelezaji wa mradi huu.


" Madhumuni ya mradi huu ni kuongeza ufikiwaji wa elimu ya sekondari, kuwapatia  wasichana mazingira bora ya kujifunza na kuboresha uhitimu bora wa elimu ya sekondari kwa wasichana na wavulana".


Ikumbukwe kuwa Serikali kupitia Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) ilitoa miongozo ya ujenzi wa shule hizi katika Halmashauri zote nchini na kuziagiza kukamilisha ujenzi wa shule hizi mapema ili ziweze kutoa huduma kwa wanafunzi na kuboresha Elimu.


Shule hii inatarajia kupokea wanafunzi wa kidato cha kwanza ifikapo januari 2024.


Halmashauri ya Wilaya ya Panagani inaendelea kumshukuru Rais .Dkt .Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuboresha mazingira ya Elimu katika Wilaya ya Pangani.

#panganimpya

#elimubora

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • TANGAZO LA UJIO WA MADKTARI BINGWA WA DKT SAMIA AWAMU YA PILI

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI PANGANI LAOMBA SERIKALI UFUMBUZI KUKATIKA KWA UMEME

    April 30, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI PANGANI LAKETI KUJADILI UTENDAJI KAZI KWA ROBO YA TATU KUANZIA MWEZI JANUARI HADI MACHI 2024/2025

    April 30, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAJADIRI TAARIFA ZA UTEKELEZAJI KATA KWA KATA.

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa