• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

WAFUGAJI WAHIMIZWA KUCHANJA MIFUGO YAO, KIPINDI CHA CHANJO.

siku ya kuwekwa : January 2nd, 2025

WAFUGAJI WAHIMIZWA KUCHANJA MIFUGO YAO, KIPINDI CHA CHANJO.


Pangani_ Tanga.


Hayo yamefanyika leo tarehe 2 Januari 2025, katika maeneo mbalimbali wilayani Pangani, ikiwemo kata ya Ubangaa pamoja na kijiji cha Langoni kilichopo kata ya Tungamaa.

Hamasa hiyo imejumuisha timu ya wataalamu kutoka Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani ikiambatana na mwenyekiti wa wafugaji mkoa wa Tanga ambao wameendelea na hamasa kwa wananchi juu ya kampeni ya utoaji wa chanjo na uchanjaji wa mifugo Nchi nzima inayotarajiwa kufanyika Januari 2025.

Akizungumza katika kikao hicho afisa mifugo wilaya ya Pangani ndg Daud Mwaushanga amesema kuwa lengo la kukutana na wananchi ni kutoa hamasa ya Chanjo ya Mifugo inayotarajiwa kutolewa kwa Wafugaji, wote Pangani.


" Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi inatarajia kuendesha kampeni ya utoaji wa chanjo na uchanjaji wa mifugo Nchi nzima kuanzia Januari 2025, hivyo ni jukumu la kila mfugaji kuhakikisha mifugo yote inachanjwa ili kupata mifugo iliyobora. Alibainisha.

Aidha ameongeza kuwa chanjo hii itatolewa kwa magonjwa aina tatu Kideli, Sotoka na Homa ya Mapafu kwa mifugo ikiwemo Ng'ombe, mbuzi pamoja na kuku, na itatolewa kupitia ruzuku ya Serikali na kushirikiana na wananchi kwa muda wa miaka mitano.


Kwa upande wake Daktari wa mifugo wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani ndg David Lyimo amesema kuwa ni vizuri kujiandaa juu ya zoezi hilo, kuhakikisha  linafanyika, hivyo ni jukumu letu wafugaji kuhakikisha tunafuatilia kwa karibu mifugo yetu ili kutokomeza magonjwa mbalimbali kwa mifugo yetu.


Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • MIKUTANO WA MWAKA WA WAGANGA WAKUU WA MIKOA NA HALMASHAURI

    July 06, 2025
  • DAS PANGANI ATEMBELEA KUJIONEA MAENDELEO YA MAANDALIZI YA NANE NANE

    July 03, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA TANGA ATEMBELEA KUKAGUA MAANDALIZI YA MAONESHO YA NANE NANE

    July 02, 2025
  • TANZIA

    July 01, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa