• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII WAPATIKANA, KITONGOJI CHA KISONDO, PANGANI.

siku ya kuwekwa : September 10th, 2024

Serikali kupitia Wizara ya Afya kwa Kushirikiana na Ofisi ya Rais ,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imetoa nafasi kwa wananchi kuwachagua au kuwapigia kura Wahudumu wa Afya Ngazi ya Jamii waliomba kujitolea kwenye Vitongoji vyao vilivyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Pangani.

Wahudumu hao watatambuliwa kupitia Mpango Jumuishi wa Wahudumu wa Afya ngazi ya jamii.


Zoezi la upatikanaji wa Wahudumu wa Afya ngazi ya jamii limefanyika leo Septemba 10,2024 katika kitongoji cha Kisondo, kijiji cha Mwera Wilayani Pangani, ambapo zoezi la upatikanaji wa Wahudumu hao limefanyika

Aidha wananchi wa kitongoji hicho walipata fursa ya kuwapigia kura Wahudumu hao.


Kwa upande wake afisa mradi kutoka shirika la Amref ameshiriki zoezi la wazi la uchaguzi huo na amefafanua kuwa _:


" Amref kupitia ufadhiri kutoka ubalozi wa Iland inatekeleza mradi huu Wilayani Pangani wenye lengo la kutoa Elimu ya Afya, mabadiliko ya tabia nchi na masuala ya Lishe kwa jamii ". Alisema.


Sambamba na hilo ndg Bahati Mwailafu kutoka Wizara ya Afya amesema kuwa kwa kushirikiana na Mdau wa Maendeleo Shirika la AMREF amesema kuwa Wahudumu wa afya ngazi ya jamii wapo muda mrefu na Serikali imeendelea kuboresha kwa kutekeleza Mpango Jumuishi wa Wahudumu wa Afya Ngazi ya Jamii, ambapo kila Mtaa na Kitongoji kutakuwa na Wahudumu wawili (Me na Ke) 


" Wahudumu tuliowachagua watapewa mafunzo ndani ya miezi sita na watakuja kutoa huduma katika maeneo yetu" .

Hata hivyo kwa upande wake ndg Hamza Mohamedi ambae amepata nafasi ya kuchaguliwa kuwa mhudumu wa afya ngazi ya jamii ameishukuru Serikali kupitia mradi huu na kuahidi kujituma ili kuleta mafanikio katika jamii.

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • SEA SENSE YAWAJENGEA UWEZO NA KUWEZESHA VIFAA VYA DORIA KWA BMU, WA BWENI WILAYANI PANGANI.

    June 18, 2025
  • PANGANI YAFANYA MAADHIMISHO YA SIKU YA KASA DUNIANI

    June 17, 2025
  • HALMASHAURI ZA MKOA WA TANGA ZAPONGEZWA, NA RC BATILDA KWA KUPATA HATI SAFI 2023/2024

    June 16, 2025
  • PANGANI YAFANYA KIKAO KUPOKEA NA KUJADILI TAARIFA ZA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI

    June 16, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa