• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

WALIMU WA SHULE ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI WAISHUKURU SERIKALI KWA KUWAGAWIA VISHIKWAMBI KWAAJILI YA KUFUNDISHIA

siku ya kuwekwa : January 12th, 2023

Halmashauri ya wilaya ya Pangani mkoani Tanga Leo imegawa vishikwambi (tablets) zipatazo 221, kwa makundi ya walimu wa shule za msingi na sekondari , waratibu elimu kata pamoja na maafisa elimu ngazi ya halmashauri.

Ugawaji wa vishikwambi hivyo uliofanyika katika ukumbi wa zamani wa  Halmashauri ya wilaya ya Pangani ulizinduliwa na Mgeni rasmi Kaimu Mkuu wa wilaya ya Pangani Mh Hassani Bakari Nyange. Ambaye ni Katibu tawala wilaya ya Pangani.

Akizungumzia zoezi hilo, afisa elimu msingi wilaya ya Pangani Bwana Juma Hassan Mbwela ameishukuru serikali kwa kutoa vishikwambi kwakuwa vitasaidia kuboresha elimu wilayani Pangani.

Mwl. Mbwela amewataka walimu waliopata vishikwambi hivyo kuvitumia kulingana na matumizi yanayolengwa katika ufundishaji akiwasisitiza kutovitumia kwa matumizi yasiyolengwa.

Kwa upande wao baadhi ya walimu wameishukuru serikali kwa kuwapatia vishikwambi hivyo wakiahidi  kuvitumia katika njia bunifu za ufundishaji zitakazosaidia wanafunzi kujifunza kuelewa kwa urahisi.

Kwa ujumla Idadi kamili ya vishikwambi inayohitaji kutolewa ni 372 hivyo kutolewa vishikwambi 221 ni pungufu ya vishikwambi vipatavyo 151 ambavyo vinatarajiwa kuongezwa kutoka Mkoa wa Dar Es Salam kwa ajili ya kuwapatia walimu waliokosa kwa awamu ya kwanza.

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • RC TANGA KUONGEA NA WAANDISHI KUHUSU MAFANIKIO YA SERIKALI YA AWAMU YA SITA

    July 14, 2025
  • WAGANGA WAKUU WAMTUNUKIA TUZO DKT SAMIA SULUHU HASSAN

    July 12, 2025
  • SEMINA ELEKEZI KWA WALIMU AJIRA MPYA PANGANI YATOLEWA.

    July 10, 2025
  • MIKUTANO WA MWAKA WA WAGANGA WAKUU WA MIKOA NA HALMASHAURI

    July 06, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa