• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024, NGAZI YA KATA NA VIJIJI WAPATIWA MAFUNZO.

siku ya kuwekwa : September 30th, 2024

Leo Septemba 30,2024 wasimamizi wasaidizi wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024, ngazi ya kata na Vijiji, wamepatiwa mafunzo ya Kanuni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024, kutoka kwa  waratibu wa uchaguzi ngazi ya Wilaya.

Hayo yamefanyika katika ukumbi wa zamani wa  Halmashauri ya Wilaya ya Pangani, ambapo Mratibu wa uchaguzi ngazi ya Wilaya Wakili Msomi ndg Agape Fue, amebainisha kanuni zitakazoongoza uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024.


" Uchaguzi huu utaongozwa na Kanuni zifuatazo, Kanuni za uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji na Mwenyekiti wa Kitongoji, katika Mamalaka za Wilaya ( Tangazo la Serikali na. 571 la Mwaka 2024)". Alifafanua.

Aidha Wakili Fue amewataka wakazi wenye umri wa miaka ishirini na moja au zaidi wanaotaka kugombea nafasi ya uenyekiti wa Kijiji, Ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji, au Uenyekiti wa Kitongoji  kuchukua fomu za kugombea zinazopatikana kwenye ofisi ya Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi.


Sambamba na hilo amewataka wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi kutoa elimu zaidi kwa wananchi ili wawe na uelewa wa kutosha katika mchakato mzima wa uchaguzi.


Mada nyingine zilizo wasilishwa na waratibu wa uchaguzi ngazi ya Wilaya ni pamoja na matumizi ya fomu mbalimbali za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024, maadili ya Utumishi wa umma kwa watumishi wanaohusika katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024, upokeaji na utunzaji wa vifaa vya uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024, tehama,uhamasishaji wa Wananchi kushiriki shughuli zote za uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024, kuhabarisha unma juu ya masuala ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa pamoja na uandaaji wa Taarifa za uchaguzi.

Tangazo

  • MPYA: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA PANGANI May 10, 2023
  • MPYA: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • MPYA: ORODHA YA WATAKAOENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO September 09, 2023
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI.

    May 23, 2025
  • WILAYA YA PANGANI YAFANYA KIKAO CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE – ROBO YA TATU 2024/2025.

    May 19, 2025
  • RC BATILDA AIPONGEZA PANGANI UANDIKISHAJI WA DAFTARI AWAMU YA KWANZA NA KUTOA WITO KWA WANANCHI KUJITOKEZA AWAMU YA PILI

    May 16, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI NA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI LAANZA PANGANI

    May 16, 2025
  • Angalia zote

Video

ujenzi wa barabara ya Tanga pangani
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa