siku ya kuwekwa : February 2nd, 2024
Halmashauri ya Wilaya ya Pangani leo Tarehe 02.02.2024 imefanya Mkutano wa Baraza la Halmashauri hiyo katika ukumbi wa zamani wa Halmashauri kwa kipindi cha robo ya Pili Oktoba hadi Disemba k...
siku ya kuwekwa : January 31st, 2024
Tarehe 31 Januari 2024 Kijiji cha Msaraza kata ya Bushiri Wilayani Pangani kimefanya maadhimisho ya Siku ya Afya na Lishe.
Zoezi hilo lenye lengo la kutekeleza Mkataba wa...