siku ya kuwekwa : January 30th, 2024
Lengo
Kutoa utaalamu na huduma katika habari, mawasiliano na mazungumzo na umma na vyombo vya habari. Kitengo hiki kitafanya shughuli zifuatazo: -
Kukuza sera, kazi na programu za Halmashauri...
siku ya kuwekwa : January 25th, 2024
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Tanga cde Rajab Abdurrahman Pamoja na Mbunge wa Jimbo la Pangani ambae pia ni Waziri wa Maji mhe Jumaa Aweso wamechangia ujenzi wa Zahanati katika Kijiji cha Mwembeni kilicho...