siku ya kuwekwa : August 22nd, 2025
Timu ya Watumishi Pangani imeibuka mshindi kwa goli 1–0 dhidi ya Timu ya Watumishi Singida DC katika mchezo wa mashindano ya SHIMISEMITA, uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Mnazi Mmoja, Jijini Tanga.
...
siku ya kuwekwa : August 21st, 2025
Timu ya Watumishi Pangani inatarajia kucheza na timu ya Watumishi Singida leo tarehe 21 Agosti 2025 saa 8:30 Mchana kwa saa za Afrika Mashariki katika uwanja wa Tanga School, Jijini Tanga, ikiwa ni mw...
siku ya kuwekwa : August 20th, 2025
Taasisi isiyo ya Kiserikali ya CAMFED imeendelea na mafunzo kwa wajumbe wapya wa Kamati ya CDC Wilayani Pangani kwa lengo la kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa miradi ya elimu.
Mafunzo hayo...