siku ya kuwekwa : August 23rd, 2025
Pangani DC imeibuka na ushindi muhimu wa goli 1–0 dhidi ya Songea MC katika mchezo wao wa tano wa mashindano ya SHIMISEMITA 2025, uliochezwa leo, 23 Agosti 2025, kwenye Uwanja wa Galanosi, Jijini Tang...
siku ya kuwekwa : August 22nd, 2025
Timu ya Watumishi Pangani imeibuka mshindi kwa goli 1–0 dhidi ya Timu ya Watumishi Singida DC katika mchezo wa mashindano ya SHIMISEMITA, uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Mnazi Mmoja, Jijini Tanga.
...
siku ya kuwekwa : August 21st, 2025
Timu ya Watumishi Pangani inatarajia kucheza na timu ya Watumishi Singida leo tarehe 21 Agosti 2025 saa 8:30 Mchana kwa saa za Afrika Mashariki katika uwanja wa Tanga School, Jijini Tanga, ikiwa ni mw...