siku ya kuwekwa : December 6th, 2023
Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani wameanza kupatiwa Mafunzo ya Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi kwa watumishi wa Umma (PEPMIS).
Mafunzo hayo yameanza leo tarehe 6,Disemba 2023 h...
siku ya kuwekwa : December 4th, 2023
Mkuu wa Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Ndg Ramadhani Zuberi( Mwenye Shati jekundu), amezindua zoezi la ugawaji wa pikipiki zilizotolewa na Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi.
...
siku ya kuwekwa : December 1st, 2023
Bi Heliswida Majula Afisa Tarafa wa Pangani Mjini ambae amemuwakilisha Mkuu wa Wilaya mhe Zainab Abdallah amesema kuwa hali ya maambukizi ni asilimia 5 hivyo ameiomba jamii kuendelea kupambana na maam...