siku ya kuwekwa : April 25th, 2024
Wananchi mbalimbali wakifuatilia kwa karibu Hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mhe Samia Suluhu Hassan, kuelekea maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano, eneo la Soko kuu la Pangani
...
siku ya kuwekwa : April 24th, 2024
Mkuu wa Wilaya ya Pangani mhe Mussa Kilakala leo Aprili 24, 2024 ameongoza zoezi la kufanya usafi wa mazingira na upandaji miti.
Zoezi hilo la usafi limefanyika maeneo ya Soko Kuu la Pangani, a...